Mtanzania aliyefia vitani akitetea Urusi aagwa, aacha mtoto mmoja
Mwili wa Nemes aliyefia vitani tangu Oktoba 24,2022 uliwasili alfajiri ya kuamkia leo Januari27, 2023 nchini kutokea Russia na kufanyiwa ibada nyumbani kwake Mbezi kwa Mzungu, Dar es Salaam kabla...